Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yakobo 5:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

14 Mtu wa kwenu amekuwa hawezi? na awaite wazee wa kanisa wakamwombee, wakimpaka mafuta kwa jina la Bwana.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Je, yuko mgonjwa kati yenu? Anapaswa kuwaita wazee wa kanisa, nao watamwombea na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Je, yuko mgonjwa kati yenu? Anapaswa kuwaita wazee wa kanisa, nao watamwombea na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Je, yuko mgonjwa kati yenu? Anapaswa kuwaita wazee wa kanisa, nao watamwombea na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Je, kuna yeyote miongoni mwenu aliye mgonjwa? Basi inampasa awaite wazee wa kundi la waumini wamwombee na kumpaka mafuta kwa Jina la Bwana Isa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Je, kuna yeyote miongoni mwenu aliye mgonjwa? Basi inampasa awaite viongozi wa kundi la waumini, nao wamwombee na kumpaka mafuta kwa Jina la Bwana Isa.

Tazama sura Nakili




Yakobo 5:14
11 Marejeleo ya Msalaba  

watashika nyoka; hatta wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya.


Wakafukuza pepo wengi, wakapaka mafuta watu wengi waliokuwa wagoujwa, wakawaponya.


Wakafanya hivyo, wakawapelekea wazee kwa mikono ya Barnaha na Saul.


Na walipokwisha kuchagua wazee katika killa mji, na kuomba pamoja na kufunga, wakawaweka kafika mikono ya Bwana waliyemwamini.


Walipofika Yerusalemi wakakaribishwa na Kanisa na mitume na wazee, nao wakawaeleza mambo yote Mungu aliyoyafanya pamoja nao.


Ikawa baba yake Publio alikuwa hawezi homa na kuhara damu. Paolo akaingia kwake, akaomba, akaweka mikono yake juu yake, akamponya


Petro akawatoa wote, akapiga magoti, akaomba, akaielekea mayiti, akanena, Tabitha, ondoka. Nae akafumbua macho yake, na alipomwona Petro akajiinua, akaketi.


Kwa sababu hii nalikuaeba katika Krete, illi nyatengeneze yaliyosalia, na kuweka wazee katika killa mji kama nilivyokuamuru;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo