Yakobo 4:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19216 Lakini atupa sisi neema nyingi zaidi; kwa hiyo asema, Mungu huwapinga wajikuzao, bali huwapa neemi wanyenyekevu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Lakini, neema tunayopewa na Mungu ina nguvu zaidi; kama yasemavyo Maandiko: “Mungu huwapinga wenye majivuno lakini huwapa neema wanyenyekevu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Lakini, neema tunayopewa na Mungu ina nguvu zaidi; kama yasemavyo Maandiko: “Mungu huwapinga wenye majivuno lakini huwapa neema wanyenyekevu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Lakini, neema tunayopewa na Mungu ina nguvu zaidi; kama yasemavyo Maandiko: “Mungu huwapinga wenye majivuno lakini huwapa neema wanyenyekevu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Lakini yeye hutupatia neema zaidi. Hii ndiyo sababu Maandiko yasema: “Mungu huwapinga wenye kiburi, lakini huwapa wanyenyekevu neema.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Lakini yeye hutupatia neema zaidi. Hii ndiyo sababu Andiko husema: “Mwenyezi Mungu huwapinga wenye kiburi, lakini huwapa wanyenyekevu neema.” Tazama sura |