Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yakobo 4:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

6 Lakini atupa sisi neema nyingi zaidi; kwa hiyo asema, Mungu huwapinga wajikuzao, bali huwapa neemi wanyenyekevu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Lakini, neema tunayopewa na Mungu ina nguvu zaidi; kama yasemavyo Maandiko: “Mungu huwapinga wenye majivuno lakini huwapa neema wanyenyekevu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Lakini, neema tunayopewa na Mungu ina nguvu zaidi; kama yasemavyo Maandiko: “Mungu huwapinga wenye majivuno lakini huwapa neema wanyenyekevu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Lakini, neema tunayopewa na Mungu ina nguvu zaidi; kama yasemavyo Maandiko: “Mungu huwapinga wenye majivuno lakini huwapa neema wanyenyekevu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Lakini yeye hutupatia neema zaidi. Hii ndiyo sababu Maandiko yasema: “Mungu huwapinga wenye kiburi, lakini huwapa wanyenyekevu neema.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Lakini yeye hutupatia neema zaidi. Hii ndiyo sababu Andiko husema: “Mwenyezi Mungu huwapinga wenye kiburi, lakini huwapa wanyenyekevu neema.”

Tazama sura Nakili




Yakobo 4:6
34 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana ye yote aliye na mali atapewa, na hado atazidishiwa tele: lakini ye yote asiye nayo, hatta ile aliyo nayo ataondolewa.


Na ye yote atakaejikuza, atadhiliwa; na ye yote atakaejidhili, atakuzwa.


Amewashusha wakuu katika viti, Amewakweza wanyonge.


Kwa maana killa ajikwezae atadhilika; nae ajidhiliye atakwezwa.


Nawaambia ninyi, huyu alishuka nyumbani kwake amepata kibali kuliko yule: kwa maana killa ajikwezae atadhilika; nae ajidhiliye atakwezwa.


Jidhilini mbele za Bwana, nae atawakuzeni.


Vivyo hivyo ninyi vijana, watiini wazee. Naam, ninyi nyote jifungeni unyenyekevu kama mshipi, mpate kukhudumiana; kwa sababu Mungu hushindana na wenye kiburi, huwapa wanyenyekevu neema.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo