Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yakobo 4:17 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

17 Bassi yeye ajuae kutenda mema, wala hayatendi, kwake huyu ni dhambi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Basi, mtu ambaye hafanyi lile jambo jema analojua kwamba anapaswa kulifanya, anatenda dhambi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Basi, mtu ambaye hafanyi lile jambo jema analojua kwamba anapaswa kulifanya, anatenda dhambi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Basi, mtu ambaye hafanyi lile jambo jema analojua kwamba anapaswa kulifanya, anatenda dhambi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Basi mtu yeyote anayejua jema limpasalo kutenda, lakini asilitende, mtu huyo anatenda dhambi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Basi mtu yeyote anayejua jema limpasalo kutenda, lakini asilitende, mtu huyo anatenda dhambi.

Tazama sura Nakili




Yakobo 4:17
9 Marejeleo ya Msalaba  

Mkiyajua hayo, m kheri mkiyatenda.


Kama singalikuja na kusema nao, wasingalikuwa na dhambi; sasa hawana udhuru kwa dhamhi yao.


Yesu akawaambia, Kama mngekuwa vipofu, msingekuwa na dhambi; lakini sasa mwasema Twaona; bassi dhambi yenu inakaa.


ambao wakijua sana hukumu ya haki ya Mungu, ya kwamba wayatendao haya wamestahili mauti, wanafanya haya, wala si hivyotu, bali wakubaliana nao wayatendao.


Bassi je! Ile iliyo njema ilikuwa manti kwangu mimi? Hasha! hali dhambi, illi ionekane kuwa dhambi, ilinifanyizia mauti kwa njia ya ile njema, kusudi kwa ile amri dhambi izidi kuwa mbaya mno.


Maana ingekuwa kheri kama wasingaliijua njia ya haki, kuliko kuijua ile amri takatifu waliyopewa na kuiacha.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo