Yakobo 4:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192116 Lakini sasa mwajisifu katika majivuno yenu; kujisifu kwote kwa namna hii ni kubaya. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Lakini sasa mwajivuna na kujigamba; majivuno ya namna hiyo ni mabaya. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Lakini sasa mwajivuna na kujigamba; majivuno ya namna hiyo ni mabaya. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Lakini sasa mwajivuna na kujigamba; majivuno ya namna hiyo ni mabaya. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Ilivyo sasa, mnajisifu na kujigamba. Kujisifu kote kwa namna hii ni uovu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Kama ilivyo sasa, mnajisifu na kujigamba. Kujisifu kwa namna hiyo ni uovu. Tazama sura |