Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yakobo 3:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 Bali ulimi hapana mwana Adamu awezae kuufuga; ni uovu usiotulia, umejaa sumu iletayo mauti.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Lakini hakuna mtu aliyefaulu kuufuga ulimi. Ulimi ni kitu kiovu, hakitawaliki, na kimejaa sumu inayoua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Lakini hakuna mtu aliyefaulu kuufuga ulimi. Ulimi ni kitu kiovu, hakitawaliki, na kimejaa sumu inayoua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Lakini hakuna mtu aliyefaulu kuufuga ulimi. Ulimi ni kitu kiovu, hakitawaliki, na kimejaa sumu inayoua.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 lakini hakuna mtu awezaye kuufuga ulimi. Ni uovu usiotulia, umejaa sumu iletayo mauti.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 lakini hakuna mtu awezaye kuufuga ulimi. Ni uovu usiotulia, umejaa sumu iletayo mauti.

Tazama sura Nakili




Yakobo 3:8
13 Marejeleo ya Msalaba  

Koo lao kaburi wazi, Kwa ndimi zao wametumia hila, Sumu ya pili ni chini ya midomo yao.


Kaangalieni jinsi moto mdogo uwasbavyo kuni nyingi sana. Nao ulimi ni moto, ulimwengu wa uovu. Ndio khabari ya ulimi katika viungo vyetu, huutia najis mwili wote, huliwasha moto gurudumu la maumbile, nao huwashwa moto na jehannum.


Maana killa aina ya nyama, na ya ndege, na ya nyama watambaao, na ya vitu vilivyo baharini vinafugika, navyo vimekwisha kufugwa na wana Adamu.


Joka akatupwa, yule mkubwa, nyoka wa zamani, aitwae Msingiziaji na Shetani, audanganyae ulimwengu wote; akatupwa hatta inchi, na malaika zake wakatupwa pamoja nae.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo