Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yakobo 3:7 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

7 Maana killa aina ya nyama, na ya ndege, na ya nyama watambaao, na ya vitu vilivyo baharini vinafugika, navyo vimekwisha kufugwa na wana Adamu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Binadamu anaweza kuwafuga wanyama, na amefaulu kufuga viumbe vyote – wanyama wa mwituni, ndege, nyoka na viumbe vya baharini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Binadamu anaweza kuwafuga wanyama, na amefaulu kufuga viumbe vyote – wanyama wa mwituni, ndege, nyoka na viumbe vya baharini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Binadamu anaweza kuwafuga wanyama, na amefaulu kufuga viumbe vyote — wanyama wa mwituni, ndege, nyoka na viumbe vya baharini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Kwa maana kila aina ya wanyama, ndege, wanyama watambaao na viumbe vya baharini hufugika na hufugwa na binadamu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Kwa maana kila aina ya wanyama, ndege, wanyama watambaao na viumbe vya baharini vinafugika na vimefugwa na binadamu,

Tazama sura Nakili




Yakobo 3:7
4 Marejeleo ya Msalaba  

kwa sababu alikuwa amefungwa marra nyingi kwa pingu na minyororo, akaikata ile minyororo, na kuzivunjavunja zile pingu; wala hakuna mtu aliyekuwa na nguvu za kumshinda.


Ndani yake aina zote za nyama zenye miguu mine, na nyama za mwituni, nazo zitambaazo, na ndege za anga.


Kaangalieni jinsi moto mdogo uwasbavyo kuni nyingi sana. Nao ulimi ni moto, ulimwengu wa uovu. Ndio khabari ya ulimi katika viungo vyetu, huutia najis mwili wote, huliwasha moto gurudumu la maumbile, nao huwashwa moto na jehannum.


Bali ulimi hapana mwana Adamu awezae kuufuga; ni uovu usiotulia, umejaa sumu iletayo mauti.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo