Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yakobo 3:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

18 na tunda la baki hupandwa katika amani kwa wale wafanyao amani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Uadilifu ni mazao ya mbegu ambazo wapenda amani hupanda katika amani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Uadilifu ni mazao ya mbegu ambazo wapenda amani hupanda katika amani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Uadilifu ni mazao ya mbegu ambazo wapenda amani hupanda katika amani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Mavuno ya haki hupandwa katika amani na wale wafanyao amani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Mavuno ya haki hupandwa katika amani na wale wafanyao amani.

Tazama sura Nakili




Yakobo 3:18
13 Marejeleo ya Msalaba  

Wa kheri wasuluhishi: maana hawo watakwitwa wana wa Mungu.


Avunae hupokea mshahara na kukusanya matunda kwa uzima wa milele, illi yeye apandae na yeye avunae wafurahi pamoja.


Maana yeye apandae kwa mwili wake, katika mwili atavuna uharibifu; bali yeye apandae kwa Roho, katika Roho atavima uzima wa milele.


mmejazwa matuuda ya haki, kwa njia ya Yesu Kristo, kwa utukufu na sifa ya Mungu.


Killa adhabu wakati wake haionekani kuwa kitu cha furaha, bali cha huzuni; lakini huwatolea wao waliozoezwa nayo matunda ya haki yenye amani.


kwa maana ghadhabu ya mwana Adamu haiitendi haki ya Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo