Yakobo 3:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192118 na tunda la baki hupandwa katika amani kwa wale wafanyao amani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Uadilifu ni mazao ya mbegu ambazo wapenda amani hupanda katika amani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Uadilifu ni mazao ya mbegu ambazo wapenda amani hupanda katika amani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Uadilifu ni mazao ya mbegu ambazo wapenda amani hupanda katika amani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Mavuno ya haki hupandwa katika amani na wale wafanyao amani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Mavuno ya haki hupandwa katika amani na wale wafanyao amani. Tazama sura |