Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yakobo 2:7 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

7 Hawalitukani jina lile zuri mliloitwa?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Je, si haohao wanaolitukana hilo jina lenu zuri mlilopewa?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Je, si haohao wanaolitukana hilo jina lenu zuri mlilopewa?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Je, si haohao wanaolitukana hilo jina lenu zuri mlilopewa?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Je, si wao wanalikufuru jina lile bora sana mliloitiwa?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Je, si wao wanaolikufuru Jina lile lililo bora sana mliloitiwa?

Tazama sura Nakili




Yakobo 2:7
23 Marejeleo ya Msalaba  

Angalia, mwanamke bikira atachukua mimba, nae atazaa mwana, Na watamwita jina lake Immanuel; tafsiri yake, Mungu kati yetu.


Lakini Mafarisayo waliposikia, wakasema, Huyu hafukuzi pepo, illa kwa uweza wa Beelzebul mkuu wa pepo.


wakinena, Bwana, tumekumbuka kwamba yule mjanja alisema, alipokuwa hayi bado, Baada ya siku tatu nitafufuka.


Ikawa kwa muda wa mwaka mzima wakakusanyika pamoja na kanisa na kuwafundisha watu wengi. Na wanafunzi waliitwa Wakristo kwanza hajio Antiokia.


Illi wana Adamu waliosalia wamtafute Bwana, Na mataifa yote ambao jina langu limetajwa kwao: Asema Bwana afanyae mambo haya yote.


Na marra nyingi katika masunagogi mengi naliwaadhibu, nikawashurutisha kukufuru; nikawaonea hasira kama nina wazimu, nikawaudhi hatta katika miji ya ugenini.


Wala hakuna wokofu katika mwingine aliye yote, kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wana Adamu litupasalo kuokolewa nalo.


ambae kwa jina lake ubaba wote wa mbinguni na wa duniani unakwitwa,


mimi niliyekuwa kwanza mtukanaji, mwenye kuudhi watu, mwenye jeuri: lakini nalirehemiwa kwa kuwa nalitenda hivyo kwa njinga, na kwa kutokuwa na imani;


Illakini ikiwa kwa sababu ni Mkristo asione haya, bali amtukuze Mungu katika jina hili.


Nae amevikwa vazi lililochovywa katika damu, na, jina lake, aitwa, Neno la Mungu.


Nae ana jina limeandikwa katika vazi lake mi paja vake, MFALME WA WAFALME, NA BWANA WA MABWANA.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo