Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yakobo 2:26 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

26 Maana kama vile mwili pasipo roho umekufa, vivyo hivyo na imani pasipo matendo imekufa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Basi, kama vile mwili bila roho umekufa, vivyo hivyo imani bila matendo imekufa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Basi, kama vile mwili bila roho umekufa, vivyo hivyo imani bila matendo imekufa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Basi, kama vile mwili bila roho umekufa, vivyo hivyo imani bila matendo imekufa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Kama vile mwili pasipo roho umekufa, kadhalika nayo imani pasipo matendo imekufa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Kama vile ambavyo mwili pasipo roho umekufa, kadhalika nayo imani pasipo matendo imekufa.

Tazama sura Nakili




Yakobo 2:26
11 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akalia kwa sauti kuu, akasema, Baba, mikononi mwako naiweka roho yangu: na alipokwisha kusema haya akatoa roho.


Maana katika Kristo Yesu kutahiriwa hakufai neno wala kutokutahiriwa, bali imani itendayo kazi kwa upendo.


Yafaa nini, ndugu zangu, mtu akisema ana imani, nae hana matendo? Je! ile imani yaweza kumwokoa?


Vivyo hivyo na imani, isipokuwa na matendo, imekufa nafsini mwake.


Lakini wataka kujua, wewe mwana Adamu usiye kitu, kwamba imani pasipo matendo haizai?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo