Yakobo 2:24 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192124 Mwaona kwamba mwana Adamu ahesabiwa kuwa ana haki kwa matendo yake; si kwa iinaui peke yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema24 Mnaona, basi, kwamba mtu hukubaliwa kuwa mwadilifu kwa matendo yake, na si kwa imani peke yake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND24 Mnaona, basi, kwamba mtu hukubaliwa kuwa mwadilifu kwa matendo yake, na si kwa imani peke yake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza24 Mnaona, basi, kwamba mtu hukubaliwa kuwa mwadilifu kwa matendo yake, na si kwa imani peke yake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu24 Mnaona kwamba mtu huhesabiwa haki kwa yale anayotenda wala si kwa imani peke yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu24 Mnaona ya kwamba mtu huhesabiwa haki kwa yale anayotenda wala si kwa imani peke yake. Tazama sura |