Yakobo 2:21 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192121 Je! baba yetu Ibrahimu hakuhesabiwa kuwa ana haki kwa matendo, hapo alipomtoa Isaak mwanawe juu ya madhbahu? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Je, Abrahamu babu yetu alipataje kukubaliwa kuwa mwadilifu? Kwa matendo yake, wakati alipomtoa tambiko mwanawe Isaka juu ya madhabahu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Je, Abrahamu babu yetu alipataje kukubaliwa kuwa mwadilifu? Kwa matendo yake, wakati alipomtoa tambiko mwanawe Isaka juu ya madhabahu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Je, Abrahamu babu yetu alipataje kukubaliwa kuwa mwadilifu? Kwa matendo yake, wakati alipomtoa tambiko mwanawe Isaka juu ya madhabahu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Je, Ibrahimu baba yetu hakuhesabiwa haki kwa kile alichotenda, alipomtoa mwanawe Isaka madhabahuni? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Je, Ibrahimu baba yetu hakuhesabiwa haki kwa kile alichotenda, alipomtoa mwanawe Isaka madhabahuni? Tazama sura |