Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yakobo 2:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

13 Maana hukumu haina huruma kwake yeye asiyeona huruma. Na huruma hujitukuza juu ya hukumu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Maana, Mungu hatakuwa na huruma atakapomhukumu mtu asiyekuwa na huruma. Lakini huruma hushinda hukumu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Maana, Mungu hatakuwa na huruma atakapomhukumu mtu asiyekuwa na huruma. Lakini huruma hushinda hukumu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Maana, Mungu hatakuwa na huruma atakapomhukumu mtu asiyekuwa na huruma. Lakini huruma hushinda hukumu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Kwa kuwa hukumu bila huruma itatolewa kwa mtu yeyote asiyekuwa na huruma. Huruma huishinda hukumu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Kwa kuwa hukumu bila huruma itatolewa kwa mtu yeyote asiyekuwa na huruma. Huruma huishinda hukumu.

Tazama sura Nakili




Yakobo 2:13
26 Marejeleo ya Msalaba  

Wa kheri wenye rehema: maana hawo watarehemiwa.


Bali msipowasamehe watu makosa yao, wala Baba yenu hatawasamehe ninyi makosa yenu.


Ibrahimu akasema, Mwanangu, kumbuka ya kuwa ulipokea mema yako katika maisha yako, na Lazaro kadhalika mabaya; lakini sasa yeye yupo hapa anafarajiwa, nawe unanmizwa.


msipatilize, nanyi hamtapatilizwa; achilieni, nanyi mtaachiliwa.


Lakini hekima itokayo juu, kwanza ni safi, tena ni ya amani, ya upole,, tayari kusikiliza maneno ya watu, imejaa rehema na matunda mema, haina fitina wala unafiki;


Angalieni, ujira wa wakulima waliovuna mashamba yenu, uliozuiliwa nanyi kwa hila, unapiga kelele, na vilio vyao waliovuna vimeingia masikioni mwa Bwana wa Sabaoth.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo