Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yakobo 2:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

12 Semeni ninyi, katendeni kama watu watakaohukumiwa kwa sharia ya uhuru.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Basi, semeni na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria iletayo uhuru.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Basi, semeni na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria iletayo uhuru.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Basi, semeni na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria iletayo uhuru.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Hivyo semeni na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria ile iletayo uhuru.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Hivyo semeni na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria ile iletayo uhuru.

Tazama sura Nakili




Yakobo 2:12
8 Marejeleo ya Msalaba  

Roho ya Bwana ni juu yangu, Kwa sababu amenitia mafuia kuwakhubiri maskini khabari njema. Amenituma kuwaponya waliopondeka moyo, Kuwatangazia wafungwa kufunguliwa, na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha wa huru waliosetwa,


tena mtaifahamu kweli, nayo kweli itawaweka huru.


Mchukuliane mizigo mkaitimize hivyo sharia ya Kristo.


Khatimae, ndugu zangu, mambo yote yaliyo ya kweli, yo yote yaliyo ya heshima, yo yote yaliyo ya haki, yo yote yaliyo safi, yo yote yenye kupendeza, yo yote yenye kuvuma vizuri, ukiwapo wema wo wote, ikiwapo sifa nzuri yo yote, yatafakarini haya.


Na killa mfanjalo, kwa neno au kwa tendo, fanyeni yote katika jina la Bwana Yesu, mkimshukuru Mungu Baba kwa yeye.


Lakini aliyeitazama sharia kamilifu ya uhuru, na kukaa humo, asiwe msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi, huyu atakuwa wa kheri katika kutenda kwake.


Illakini mkiitimiza sharia ya kifalme kama ilivyoandikwa. Mpende jirani yako kama nafsi yako, mwatenda vyema.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo