Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yakobo 2:10 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

10 Maana mtu awae yote atakaeishika sharia yote, na pamoja na hayo, akijikwaa katika neno moja, amekosa juu ya yote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Anayevunja amri mojawapo ya sheria, atakuwa na hatia ya kuivunja sheria yote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Anayevunja amri mojawapo ya sheria, atakuwa na hatia ya kuivunja sheria yote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Anayevunja amri mojawapo ya sheria, atakuwa na hatia ya kuivunja sheria yote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Kwa maana mtu yeyote anayeishika sheria yote lakini akajikwaa katika kipengele kimoja tu, ana hatia ya kuivunja sheria yote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Kwa maana mtu yeyote anayeishika sheria yote lakini akajikwaa katika kipengele kimoja tu, ana hatia ya kuivunja sheria yote.

Tazama sura Nakili




Yakobo 2:10
8 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana wale wote walio wa matendo ya sharia, wako chini ya laana; maana imeandikwa, Amelaaniwa killa mtu asiodumu katika yote yaliyoandikwa katika kitabu cha sharia, ayafanye.


Tena namshuhudia killa mtu atahiriwae, kwamba ni wajibu wake kuitimiza sharia yote.


Maana twajikwaa sisi sote pia katika mambo mengi. Mtu asiyejikwaa katika kunena, huyo ni mtu mkamilifu, awezae kuuzuia na mwili wake wote kama kwa lijamu.


Kwa hivo ndugu, jitahidini zaidi kufanya imara wito wenu na uteule wenu; maana mkitenda hayo hamtajikwaa kamwe.


Kwake Yeye awezae kuwalinda ninyi msijikwae, na kuwasimamisha mbele ya utukufu wake bila mawaa katika furaha kuu,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo