Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yakobo 1:9 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

9 Lakini ndugu asiye na cheo afurahi kwa kuwa ametukuzwa;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Ndugu aliye maskini anapaswa kufurahi wakati Mungu anapomkweza,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Ndugu aliye maskini anapaswa kufurahi wakati Mungu anapomkweza,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Ndugu aliye maskini anapaswa kufurahi wakati Mungu anapomkweza,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Ndugu asiye na cheo kikubwa yampasa ajivunie hali hiyo maana ametukuzwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Ndugu asiye na cheo kikubwa yampasa ajivunie hali hiyo maana ametukuzwa.

Tazama sura Nakili




Yakobo 1:9
25 Marejeleo ya Msalaba  

Amewashusha wakuu katika viti, Amewakweza wanyonge.


Lakini msifurahi kwa sababu hii ya kuwa pepo wanawatiini: hali furahini kwa kuwa majina yenu yameandikwa mbinguni.


Kwa maana killa ajikwezae atadhilika; nae ajidhiliye atakwezwa.


akawaambia, Killa mtu atakaempokea kitoto hiki kwa jina langu, anipokea mimi, na killa mtu atakaenipokea mimi, ampokea yeye aliyenituma. Maana yeye aliye mdogo miongoni mwenu ninyi nyote, huyu atakuwa mkubwa.


kama tu watoto, bassi, tu warithi; warithi wa Mungu, warithio pamoja na Kristo; naam, tukiteswa pamoja nae illi tutukuzwe pamoja nae.


kama wenye huzuni, bali siku zote wenye furaha; kama maskini, bali tukitajirisha wengi; kama wasio na kitu, bali wenye vitu vyote.


nakaza mwendo, niifikilie thawabu ya wito mkuu wa Mungu katika Kristo Yesu.


Maana sisi tu tohara, tumwabuduo Muugu kwa Roho, na kujisifu katika Kristo Yesu, wala hatuutumainii mwili. Walakini mimi ningeweza kuutumainia mwili.


Bali ninyi m mzao mteule, ukubani wa kifaume, taifa takatifu, watu wa milki, mpate kutangaza fadhili zake aliyewaita mtoke gizani mkaingie katika nuru yake ya ajabu;


Najua matendo yako na mateso yako na umaskini wako (lakini u tajiri), na matukano yao wasemao ya kuwa ni Wayahudi, nao sio, bali ni sunagogi la Shetani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo