Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yakobo 1:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

3 mkifahamu ya kuwa kujaribiwa imani yenu huleta saburi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 kwani mwajua kwamba imani yenu ikisha stahimili, itawapatieni uvumilivu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 kwani mwajua kwamba imani yenu ikisha stahimili, itawapatieni uvumilivu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 kwani mwajua kwamba imani yenu ikisha stahimili, itawapatieni uvumilivu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 kwa sababu mnajua ya kuwa kujaribiwa kwa imani yenu huleta saburi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 kwa sababu mnajua ya kuwa kujaribiwa kwa imani yenu huleta saburi.

Tazama sura Nakili




Yakobo 1:3
15 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa subira yenu mtazipata robo zenu.


Kwa kuwa yote yaliyotangulia kuandikwa yaliandikwa kutufundisha sisi, illi kwa uvumilivu na faraja ya maandiko tupate kuwa na tumaini.


wale ambao kwa kustahimili katika kutenda mema wanatafuta utukufu na heshima na kutoa kuharibika, nzima wa milele;


Bali tukikitumaini kitu tusichokiona, twakingojea kwa uvumilivu.


Na twajua ya kuwa mambo yote hushiriki kazi moja, ndio kuwapatia mema wale wampendao Mungu, yaani wale walioitwa kwa kusudi lake.


Maana mateso mepesi yetu, yaliyo ya muda wa kitambo tu, yatufanyia utukufu wa milele ulio mwingi sana zaidi;


mkiwezeshwa kwa nwezo wote, kwa kadiri ya nguvu ya utukufu wake, mpate kuwa na saburi ya killa namna na uvumilivu pamoja na furaha;


Hatta sisi wenyewe twajisifu katika makanisa ya Mungu kwa ajili ya uvumilivu wenu, na imani mliyo nayo katika adha zenu zote na mateso mnayoyavumilia;


Bwana awaongozeni mioyo yenu mkapate pendo la Mungu, na uvumilivu wa Kristo.


Maana mnahitaji uvumilivu, illi mkiisha kuyafanya mapenzi ya Mungu muipate abadi.


BASSI na sisi pia, kwa kuwa tunazungukwa na wingu kubwa la mashahidi namna hii, tuweke kando killa mzigo mzito, na dhambi ile ituzingayo kwa upesi; na tupige mbio kwa uvumilivu katika yale mashindano yaliyowekwa mbele yetu,


illi msiwe wavivu, hali wafuasi wa hao wazirithio ahadi kwa imaui na uvumilivu.


illi kujaribiwa kwake imani yenu, ambako kuna thamani kuu kuliko dbahabu ipoteayo, ijapokuwa imejaribiwa kwa moto, kuonekane kuwa kwenye sifa na utukufu na heshima, katika kufunuliwa kwake Yesu Kristo:


na katika maarifa yenu kiasi, na katika kiasi chenu uvumilivu, na katika uvumilivu wenu utawa,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo