Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yakobo 1:23 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

23 Kwa sababu mtu akiwa msikiaji wa neno tu, wala si mtendaji, mtu huyu ni kama mtu anaejiangalia uso wake wa asili katika kioo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Yeyote anayesikiliza hilo neno lakini halitekelezi, huyo ni kama mtu anayejiangalia sura yake mwenyewe katika kioo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Yeyote anayesikiliza hilo neno lakini halitekelezi, huyo ni kama mtu anayejiangalia sura yake mwenyewe katika kioo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Yeyote anayesikiliza hilo neno lakini halitekelezi, huyo ni kama mtu anayejiangalia sura yake mwenyewe katika kioo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Kwa maana kama mtu ni msikiaji tu wa Neno wala hatendi kile linachosema, yeye ni kama mtu ajitazamaye uso wake kwenye kioo

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Kwa maana kama mtu ni msikiaji tu wa Neno wala hatendi kile linachosema, yeye ni kama mtu ajitazamaye uso wake kwenye kioo

Tazama sura Nakili




Yakobo 1:23
8 Marejeleo ya Msalaba  

Killa mtu ajae kwangu na kuyasikia maneno yangu na kuyatenda nitawaonyesha mfano wake mtu huyu.


Mafarisavo na waandishi wakamvizia kuona kwamba ataponya siku ya Sabato, wapate kumshitaki.


Maana wakati wa sasa tunaona kwa kioo kwa jinsi ya fumbo; wakati ule uso kwa uso: wakati wa sasa nafahamu kwa sehemu; wakati ule nitajua sana jinsi ninavyojuliwa na mimi sana.


Maana hujiangalia, kiisha huendazake, marra akasahau jinsi alivyo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo