Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yakobo 1:2 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

2 Hesabuni ya kuwa ni furaha tupu, ndugu zangu, mkiangukia katika majaribu mbalimbali;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Ndugu zangu, muwe na furaha mnapopatwa na majaribu mbalimbali,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Ndugu zangu, muwe na furaha mnapopatwa na majaribu mbalimbali,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Ndugu zangu, muwe na furaha mnapopatwa na majaribu mbalimbali,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Ndugu zangu, hesabuni kuwa ni furaha tupu mnapopatwa na majaribu mbalimbali,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Ndugu zangu, hesabuni kuwa ni furaha tupu mnapopatwa na majaribu mbalimbali,

Tazama sura Nakili




Yakobo 1:2
21 Marejeleo ya Msalaba  

Nao wakatoka katika ile baraza, wakifurahi kwa sababu wamehesabiwa kuwa wamestahili kuaibishwa kwa ajili ya jina lake.


Wala si hivyo tu, illa twafurahi katika mateso pia, tukijua ya kuwa dhiiki, kazi yake ni kuleta uvumilivu,


Maana mmepewii kwa ajili ya Kristo, si kumwamini tu, illa na kuteswa kwa ajili yake,


Naam, hatta nikimiminwa juu ya dhabihu na khuduma ya imani yenu, nafurahi; tena nafurahi pamoja nanyi nyote.


Nanyi vivyo hivyo furahini, tena furahini pamoja nami.


Sasa nayafurahia mateso niliyo nayo kwa ajili yenu; tena natimiliza yale yaliyopungua ya mateso ya Kristo katika mwili wangu, kwa ajili ya mwili wake, yaani, kanisa lake,


Maana mliwaonea huruma wale waliokuwa katika mafungo, mkakubali kwa furaba kunyangʼauywa mali zenu, mkijua nafsini mwenu kwamba mna mali mbinguni iliyo njema zaidi, idumnyo.


Yu kheri astahimiliye majaribu; kwa sababu akipata kibali ataipokea taji ya uzima, Bwana aliyowaahidia wampendao.


Msidanganyike, ndugu zangu wapenzi.


Bassi killa mtu awe mwepesi wa kusikia, mzito wa kusema, mzito wa ghadhabu;


Angalieni, twawaita wenye kheri wao waliovumilia. Mmesikia khabari ya uvumilivu wa Ayub, mmenona mwisho wa Bwana ya kwamba Bwana ni mwenye rehema nyingi, mwenye huruma.


Bwana ajua kuwaokoa wamchao na majaribu, na kuwaweka wasio haki katika hali ya adhabu hatta siku ya hukumu;


Usiogope mambo yatakavokupata: tazama mshitaki atawatupa baadhi yenu gerezani illi mjaribiwe, nanyi mtakuwa na mateso siku kumi. Uwe mwaminifu hatta kufa, nami nitakupa taji ya uzima.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo