Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yakobo 1:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

14 Lakini killa mmoja hujaribiwa akivutwa na kudanganywa na tamaa yake mwenyewe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Lakini mtu hujaribiwa anapovutwa na kunaswa na tamaa zake mbaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Lakini mtu hujaribiwa anapovutwa na kunaswa na tamaa zake mbaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Lakini mtu hujaribiwa anapovutwa na kunaswa na tamaa zake mbaya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Lakini kila mtu hujaribiwa wakati anapovutwa na kudanganywa na tamaa zake mwenyewe zilizo mbaya.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Lakini kila mtu hujaribiwa wakati anapovutwa na kudanganywa na tamaa zake mwenyewe zilizo mbaya.

Tazama sura Nakili




Yakobo 1:14
24 Marejeleo ya Msalaba  

Bali vitokavyo kinywani vyatoka moyoni; navyo ndivyo vimtiavyo najis mwana Adamu.


hayo ndiyo yamtiayo najis mwana Adamu; lakini kula kabla hajanawa mikono hakumtii mwana Adamu najis.


NDIPO Yesu alipopandishwa na Roho hatta jangwani, illi ajaribiwe na Shetani.


Bali mimi miwaambieni, Killa mtu atazamae mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini nae moyoni mwake.


Kwa maana dhambi, ikipata nafasi kwa iie amri, ilinidanganya, ikaniua kwayo.


Bassi je! Ile iliyo njema ilikuwa manti kwangu mimi? Hasha! hali dhambi, illi ionekane kuwa dhambi, ilinifanyizia mauti kwa njia ya ile njema, kusudi kwa ile amri dhambi izidi kuwa mbaya mno.


mvue kwa khabari ya desturi za kwanza mtu wa zamani, anaeharibiwa kwa kuzifuata tamaa zenye kudanganya;


Lakini muonyane killa siku, maadam iitwapo leo; mmoja wenu asifanywe mgumu kwa udanganyifu wa dhambi.


Mtu, ajarihiwapo, asiseme, Ninajaribiwa na Mungu: maana Mungu hawezi kujaribiwa na maovu, wala yeye mwenyewe hamjaribu mtu.


Khalafu ile tamaa ikiisha kuchuikua mimba huzaa dhambi, na ile dhambi ikiisha kukomaa huzaa mauti.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo