Yakobo 1:10 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192110 na tajiri kwa kuwa ameshushwa: kwa maana kama ua la majani atatoweka. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 naye tajiri anapaswa kufurahi anaposhushwa na Mungu. Maana tajiri atatoweka kama ua la porini. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 naye tajiri anapaswa kufurahi anaposhushwa na Mungu. Maana tajiri atatoweka kama ua la porini. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 naye tajiri anapaswa kufurahi anaposhushwa na Mungu. Maana tajiri atatoweka kama ua la porini. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Lakini yeye aliye tajiri afurahi kwa kuwa ameshushwa, kwa sababu atatoweka kama ua la shambani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Lakini yeye aliye tajiri afurahi kwa kuwa ameshushwa, kwa sababu atatoweka kama ua la shambani. Tazama sura |