Waroma 9:30 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192130 Tuseme nini, bassi? Ya kwamba watu wa mataifa, wasioifuata haki, walipata haki; yaani ile haki iliyo ya imani; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema30 Basi tuseme nini? Watu wa mataifa ambao hawakutafuta wafanywe waadilifu, wamejaliwa kuwa waadilifu, kwa njia ya imani, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 Basi tuseme nini? Watu wa mataifa ambao hawakutafuta wafanywe waadilifu, wamejaliwa kuwa waadilifu, kwa njia ya imani, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 Basi tuseme nini? Watu wa mataifa ambao hawakutafuta wafanywe waadilifu, wamejaliwa kuwa waadilifu, kwa njia ya imani, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu30 Kwa hiyo tuseme nini? Kwamba watu wa Mataifa ambao hawakutafuta haki, wamepata haki ile iliyo kupitia kwa imani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu30 Kwa hiyo tuseme nini basi? Kwamba watu wa Mataifa ambao hawakutafuta haki, wamepata haki ile iliyo kwa njia ya imani. Tazama sura |