Waroma 9:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192118 Bassi, kama ni hivyo, atakae (kumrehemu) humrehemu, na atakae kumfanya mgumu humfanya mgumu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Ni wazi basi, kwamba Mungu humhurumia yeyote anayetaka kumhurumia, na akipenda kumfanya mtu awe mkaidi, hufanya hivyo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Ni wazi basi, kwamba Mungu humhurumia yeyote anayetaka kumhurumia, na akipenda kumfanya mtu awe mkaidi, hufanya hivyo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Ni wazi basi, kwamba Mungu humhurumia yeyote anayetaka kumhurumia, na akipenda kumfanya mtu awe mkaidi, hufanya hivyo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Kwa hiyo basi, Mungu humhurumia yeye atakaye kumhurumia na humfanya mgumu yeye atakaye kumfanya mgumu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Kwa hiyo basi, Mungu humhurumia yeye atakaye kumhurumia na humfanya mgumu yeye atakaye kumfanya mgumu. Tazama sura |