Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 9:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

18 Bassi, kama ni hivyo, atakae (kumrehemu) humrehemu, na atakae kumfanya mgumu humfanya mgumu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Ni wazi basi, kwamba Mungu humhurumia yeyote anayetaka kumhurumia, na akipenda kumfanya mtu awe mkaidi, hufanya hivyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Ni wazi basi, kwamba Mungu humhurumia yeyote anayetaka kumhurumia, na akipenda kumfanya mtu awe mkaidi, hufanya hivyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Ni wazi basi, kwamba Mungu humhurumia yeyote anayetaka kumhurumia, na akipenda kumfanya mtu awe mkaidi, hufanya hivyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Kwa hiyo basi, Mungu humhurumia yeye atakaye kumhurumia na humfanya mgumu yeye atakaye kumfanya mgumu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Kwa hiyo basi, Mungu humhurumia yeye atakaye kumhurumia na humfanya mgumu yeye atakaye kumfanya mgumu.

Tazama sura Nakili




Waroma 9:18
24 Marejeleo ya Msalaba  

Amewapofusba macho, amefanya migumu mioyo yao, Wasije wakaona kwa macho yao, wakafahamu kwa mioyo yao, Wakagenka, nikawaponya.


Kwa maana sitaki ndugu msiijue siri hii, ms jione kuwa wenye akili, ya kwamba kwa sehemu ugumu umewapata Israeli, mpaka ntimilifu wa mataifa uwasili;


illi usifiwe utukufu wa neema yake, aliyotukarimu katika mpendwa wake:


Tufuate:

Matangazo


Matangazo