Waroma 9:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192116 Bassi, kama ni hivyo, si katika uwezo wa yule atakae, wala wa yule apigae mbio, bali wa yule arehemuye, yaani Mungu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Kwa hiyo, yote hutegemea huruma ya Mungu, na si bidii au mapenzi ya mtu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Kwa hiyo, yote hutegemea huruma ya Mungu, na si bidii au mapenzi ya mtu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Kwa hiyo, yote hutegemea huruma ya Mungu, na si bidii au mapenzi ya mtu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Kwa hiyo haitegemei kutaka kwa mwanadamu au jitihada, bali hutegemea huruma ya Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Kwa hiyo haitegemei kutaka kwa mwanadamu au jitihada, bali hutegemea huruma ya Mungu. Tazama sura |