Waroma 9:10 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192110 Wala si hivyo tu, lakini Rebeka nae, akiisha kuchukua mimba kwa mmoja, nae ni Isaak baba yetu— Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Tena si hayo tu, ila pia Rebeka naye alipata mapacha kwa baba mmoja, yaani Isaka, babu yetu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Tena si hayo tu, ila pia Rebeka naye alipata mapacha kwa baba mmoja, yaani Isaka, babu yetu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Tena si hayo tu, ila pia Rebeka naye alipata mapacha kwa baba mmoja, yaani Isaka, babu yetu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Wala si hivyo tu, bali pia watoto aliowazaa Rebeka walikuwa na baba huyo huyo mmoja, yaani baba yetu Isaka. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Wala si hivyo tu, bali pia watoto aliowazaa Rebeka walikuwa na baba huyo huyo mmoja, yaani, baba yetu Isaka. Tazama sura |