Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 8:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 Wafuatao mambo ya mwili hawawezi kumpendeza Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Watu wanaotii matakwa ya mwili hawawezi kumpendeza Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Watu wanaotii matakwa ya mwili hawawezi kumpendeza Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Watu wanaotii matakwa ya mwili hawawezi kumpendeza Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Wale wanaotawaliwa na mwili, hawawezi kumpendeza Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Wale wanaotawaliwa na mwili, hawawezi kumpendeza Mungu.

Tazama sura Nakili




Waroma 8:8
16 Marejeleo ya Msalaba  

na sauti toka mbinguni ikinena, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninaependezwa nae.


Yesu akajibu, akamwambia, Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa marra ya pili, hawezi kuuona ufalme wa Mungu.


Nae aliyenipeleka yu pamoja nami; Baba hakuniacha peke yangu: kwa sababu mimi nafanya siku zote yampendezayo.


kwa sababu, walipomjua Mungu hawakumtukuza kama Mungu wala kumshukuru; bali walipotea katika uzushi wao, na mioyo yao yenye ujinga ikatiwa giza:


Kwa maana tulipokuwa katika mwili, tamaa za dhambi zilizokuwako kwa sababu ya torati zilitenda (kazi) katika viungo vyetu hatta tukaizalia mauti mazao.


Lakini ikiwa Roho ya Mungu anakaa ndani yenu, ninyi hamfuati mambo ya mwili, bali mambo ya roho. Lakini mtu aliye yote asipokuwa na Roho ya Kristo, huyo si mtu wake.


Lakini nataka inwe hamna masumbufu. Yeye asiyeoa hujishughulisha na mambo ya Bwana, ampendezeje Bwana;


Lakini ninavyo vitu vyote na kuzidi; tena nimejaa tele, nimepokea kwa mkono ya Epafrodito vitu vile vilivyotoka kwenu, harufu ya manukato, sadaka yenye kibali, impendezayo Mungu.


mwenende kama ilivyo wajib wenu kwa Bwana, mkimpendeza kabisa; kwa killa kazi njema mkizaa matunda, mkizidi katika maarifa ya Mungu;


Ninyi watoto, watiini wazazi wenu katika mambo yote; maana jamlio hili lapendeza katika Bwana.


ILIYOBAKI, ndugu, tunakusihini na kukuonyeni kuenenda katika Bwana Yesu, kama mlivyopokea kwetu, jinsi iwapasavyo kuenenda na kumpendeza Mungu, kama na muavyoenenda, mpate kuzidizidi sana.


Lakini msisahau kutenda mema na kushirikiana na watu; maana sadaka kama hizi ndizo zimpendezazo Mungu.


awafanye kuwa wrakamilifu katika killa tendo jema, mpate kuyafanya mapenzi yake, nae akifanya ndani yetu lipendezalo mbele zake, kwa Yesu Kristo; utukufu una yeye milele na milele. Amin.


na lo lote tuombalo, twalipokea kwake, kwa kuwa twazishika amri zake, na kuyatenda yapendezayo machoni pake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo