Waroma 8:7 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19217 Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui juu ya Mungu, kwa maana haitii sharia ya Mungu wala haiwezi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Maana, mwenye kutawaliwa na fikira za mwili ni adui wa Mungu; haitii sheria ya Mungu, wala hawezi kuitii. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Maana, mwenye kutawaliwa na fikira za mwili ni adui wa Mungu; haitii sheria ya Mungu, wala hawezi kuitii. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Maana, mwenye kutawaliwa na fikira za mwili ni adui wa Mungu; haitii sheria ya Mungu, wala hawezi kuitii. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui na Mungu, kwa maana haiitii Torati ya Mungu, wala haiwezi kuitii. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui na Mungu, kwa maana haiitii Torati ya Mungu, wala haiwezi kuitii. Tazama sura |