Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 8:31 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

31 Bassi, na tuseme nini baada ya hayo? Mungu akiwa upande wetu, nani aliye juu yetu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Kutokana na hayo, tuseme nini zaidi? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, nani awezaye kutupinga?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Kutokana na hayo, tuseme nini zaidi? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, nani awezaye kutupinga?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Kutokana na hayo, tuseme nini zaidi? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, nani awezaye kutupinga?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Tuseme nini basi kuhusu haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani awezaye kuwa kinyume chetu?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Tuseme nini basi kuhusu haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani awezaye kuwa kinyume chetu?

Tazama sura Nakili




Waroma 8:31
31 Marejeleo ya Msalaba  

Angalia, mwanamke bikira atachukua mimba, nae atazaa mwana, Na watamwita jina lake Immanuel; tafsiri yake, Mungu kati yetu.


Lakini, ikiwa udhalimu wetu waithubutisha hakiya Mungu, tuseme nini? Mungu ni dhalimu aletae ghadhabu? (Nasema kwa jinsi ya kibin-Adamu.)


BASSI, tusemeje? Ibrahimu baba yetu kwa jinsi ya mwili amepata nini?


Ninyi, watoto wangu, mwatokana na Mungu: nanyi mmewashinda, kwa sababu yeye aliye ndani yenu ni mkuu kuliko yeye aliye katika dunia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo