Waroma 8:31 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192131 Bassi, na tuseme nini baada ya hayo? Mungu akiwa upande wetu, nani aliye juu yetu? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 Kutokana na hayo, tuseme nini zaidi? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, nani awezaye kutupinga? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 Kutokana na hayo, tuseme nini zaidi? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, nani awezaye kutupinga? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 Kutokana na hayo, tuseme nini zaidi? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, nani awezaye kutupinga? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 Tuseme nini basi kuhusu haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani awezaye kuwa kinyume chetu? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 Tuseme nini basi kuhusu haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani awezaye kuwa kinyume chetu? Tazama sura |