Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 8:25 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

25 Bali tukikitumaini kitu tusichokiona, twakingojea kwa uvumilivu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Kama tunakitumaini kile ambacho hatujakiona bado, basi, tunakingojea kwa uvumilivu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Kama tunakitumaini kile ambacho hatujakiona bado, basi, tunakingojea kwa uvumilivu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Kama tunakitumaini kile ambacho hatujakiona bado, basi, tunakingojea kwa uvumilivu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Lakini tunapotumaini kupata kitu ambacho hatuna, basi twakingojea kwa saburi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Lakini tunapotumaini kupata kitu ambacho hatuna, basi twakingojea kwa saburi.

Tazama sura Nakili




Waroma 8:25
26 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa subira yenu mtazipata robo zenu.


Nazo penye udongo mwema, hawa ndio ambao kwamba kwa moyo mzuri na mwema hulisikia neno, wakalishika, wakazaa kwa saburi.


kwa tumaini, mkifurahi; katika shidda, mkivumilia; katika kusali, mkidumu;


wale ambao kwa kustahimili katika kutenda mema wanatafuta utukufu na heshima na kutoa kuharibika, nzima wa milele;


Wala si hivyo tu, illa na sisi wenyewe tulio na malimbuko ya Roho tunaugua katika nafsi zetu, tukitazamia kufanywa wana, ukombozi wa mwili wetu.


mkiwezeshwa kwa nwezo wote, kwa kadiri ya nguvu ya utukufu wake, mpate kuwa na saburi ya killa namna na uvumilivu pamoja na furaha;


wala hatuachi kuikumbuka kazi yenu ya amani, na taabu yenu ya upendo, na uvumilivu wenu wa tumaini lililo katika Bwana Yesu Kristo, mbele za Mungu Baba yetu;


Bwana awaongozeni mioyo yenu mkapate pendo la Mungu, na uvumilivu wa Kristo.


Maana mnahitaji uvumilivu, illi mkiisha kuyafanya mapenzi ya Mungu muipate abadi.


illi msiwe wavivu, hali wafuasi wa hao wazirithio ahadi kwa imaui na uvumilivu.


Na hivyo kwa kuvumilia akaipata ile ahadi.


Mimi Yohana, ndugu yenu na mwenye kushiriki pamoja nanyi katika mateso na ufalme na uvumilivu wa Yesu Kristo, nalikuwa katika kisiwa kiitwacho Patmo, kwa ajili ya Neno la Mungu, na kwa ajili ya ushuhuda wa Yesu.


Mtu akichukua mateka achukuliwa mateka. Mtu akiua kwa upanga, atauawa kwa upanga. Hivyo ndivyo uvumilivu na imani ya watakatifu.


Hapo ndipo penye uvumilivu wa watakatifu wazishikao amri za Mungu, na imani ya Yesu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo