Waroma 8:2 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19212 Kwa sababu sharia ya Roho ya uzima ule ulio katika Yesu Kristo imeniacha huru, nikawa mbali ya sharia ya dhambi na mauti. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Maana, sheria ya Roho iletayo uhai kwa kuungana na Kristo Yesu imenikomboa kutoka katika sheria ya dhambi na kifo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Maana, sheria ya Roho iletayo uhai kwa kuungana na Kristo Yesu imenikomboa kutoka katika sheria ya dhambi na kifo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Maana, sheria ya Roho iletayo uhai kwa kuungana na Kristo Yesu imenikomboa kutoka katika sheria ya dhambi na kifo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Kwa sababu sheria ya Roho wa uzima katika Al-Masihi Isa imeniweka huru mbali na sheria ya dhambi na mauti. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Kwa sababu sheria ya Roho wa uzima katika Al-Masihi Isa imeniweka huru mbali na sheria ya dhambi na mauti. Tazama sura |