Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 8:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

14 Kwa kuwa wote wanaoongozwa na Roho ya Mungu, hao ndio wana wa Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Wote wanaoongozwa na Roho wa Mungu ni watoto wa Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Wote wanaoongozwa na Roho wa Mungu ni watoto wa Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Wote wanaoongozwa na Roho wa Mungu ni watoto wa Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Kwa kuwa wote wanaoongozwa na Roho wa Mungu, hao ndio watoto wa Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Kwa kuwa wote wanaoongozwa na Roho wa Mwenyezi Mungu, hao ndio watoto wa Mungu.

Tazama sura Nakili




Waroma 8:14
24 Marejeleo ya Msalaba  

Wa kheri wasuluhishi: maana hawo watakwitwa wana wa Mungu.


Bali wote waliompokea aliwapa mamlaka ya kufanyika watoto wa Mungu, ndio waliaminio jina lake:


Kwa maana viumbe vyote pia vinatazamia kwa shauku nyingi siku ile watakayofunuliwa wanawa Mungu.


Kwa maana wale wafuatao mambo ya mwili huyafikiri mambo ya mwili, bali wale wafuatao mambo ya roho hufikiri mambo ya roho.


Lakini ikiwa Roho ya Mungu anakaa ndani yenu, ninyi hamfuati mambo ya mwili, bali mambo ya roho. Lakini mtu aliye yote asipokuwa na Roho ya Kristo, huyo si mtu wake.


Na itakuwa mahali pale walipoambiwa, Ninyi si watu wangu, Hapo watakwitwa wana wa Mungu aliye hayi.


yaani, si watoto wa mwili walio watoto wa Mungu, bali watoto wa ile ahadi wanabesabiwa kuwa wazao.


Nami nitawakaribisheni, Nitakuwa Baba kwenu, Na ninyi mtakuwa kwangu wana na binti, anena Bwana Mwenyiezi.


Maana ninyi nyote ni wana wa Mungu kwa njia ya imani katika Yesu Kristo.


illi awakomboe waliokuwa chini ya sharia, tupate kupokea hali ya wana.


Na kwa kuwa ninyi ni wana, Mungu alimtuma Roho ya Mwana wake mioyoni mwenu, aliaye, Abba, Baba.


Nasema, Enendeni kwa Roho, nanyi hamtatimiza tamaa za mwili.


Lakini nikiongozwa na Roho, hunpo chini ya sharia.


Kwa kuwa ametuchagua tangu zamani illi tufanywe waua wake yeye kwa njia ya Yesu Kristo, kwa mapenzi ya nia yake,


(kwa kuwa tunda la nura ni katika wema wote na haki na kweli);


FAHAMUNI, ni pendo la nanma gani alilotupa Baba, kuitwa wana wa Mungu. Kwa sababu hii ulimwengu haututambui, kwa kuwa haukumtambua yeye.


Nae azishikae amri zake hukaa ndani yake, nae ndani yake. Na hivi tunajua ya kuwa anakaa ndani yetu, kwa Roho aliyotupa.


Yeye ashindae atayarithi haya, nami nitakuwa Mungu wake, nae atakuwa Mwana wangu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo