Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 8:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

12 Bassi, ndugu, tu wadeni, si wa mwili tuishi kwa kufuata mambo ya mwili,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Hivyo basi, ndugu zangu, tunalo jukumu, lakini si la kuishi kufuatana na maumbile ya kibinadamu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Hivyo basi, ndugu zangu, tunalo jukumu, lakini si la kuishi kufuatana na maumbile ya kibinadamu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Hivyo basi, ndugu zangu, tunalo jukumu, lakini si la kuishi kufuatana na maumbile ya kibinadamu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Kwa hiyo ndugu zangu, sisi tu wadeni, si wa mwili, ili tuishi kwa kuufuata mwili,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Kwa hiyo ndugu zangu, sisi tu wadeni, si wa mwili, ili tuishi kwa kuufuata mwili,

Tazama sura Nakili




Waroma 8:12
7 Marejeleo ya Msalaba  

Utusamehe deni zetu, kama sisi tunavyowasamehe wadeni wetu.


Lakini, ikiwa Roho yake yeye aliyemfufua Yesu anakaa ndani yenu, yeye aliyemfufua Yesu ataihuisha na miili yemi iliyo katika hali ya kufa, kwa Roho yake anayekaa ndani yenu.


kwa maana kama mkiishi kwa kufuata mambo ya mwili, mwataka kufa: bali kama mkiyafisha matendo ya mwili kwa Roho, mtaishi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo