Waroma 8:1 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19211 SASA, bassi, hapana hukumu juu yao walio katika Kristo Yesu, wasioenenda kwa kufuata mambo ya mwili bali mambo ya roho. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Kwa hiyo, sasa hakuna hukumu kwa wale ambao katika maisha yao wameungana na Kristo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Kwa hiyo, sasa hakuna hukumu kwa wale ambao katika maisha yao wameungana na Kristo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Kwa hiyo, sasa hakuna hukumu kwa wale ambao katika maisha yao wameungana na Kristo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Kwa hiyo, sasa hakuna hukumu ya adhabu kwa wale walio ndani ya Al-Masihi Isa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Kwa hiyo, sasa hakuna hukumu ya adhabu kwa wale walio ndani ya Al-Masihi Isa, wale ambao hawaenendi kwa kuufuata mwili bali kwa kufuata Roho. Tazama sura |