Waroma 7:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192116 Lakini kama nikilitenda lile nisilolipenda, nakiri ya kuwa sheria ile ni njema. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Ikiwa basi, ninatenda kinyume cha matakwa yangu, hii inamaanisha kwamba nakubali kuwa ile sheria ni nzuri. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Ikiwa basi, ninatenda kinyume cha matakwa yangu, hii inamaanisha kwamba nakubali kuwa ile sheria ni nzuri. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Ikiwa basi, ninatenda kinyume cha matakwa yangu, hii inamaanisha kwamba nakubali kuwa ile sheria ni nzuri. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Basi kama ninatenda lile nisilotaka kutenda, ni kwamba ninakubali kuwa Torati ni njema. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Basi kama ninatenda lile nisilotaka kutenda, ni kwamba ninakubali kuwa sheria ni njema. Tazama sura |