Waroma 7:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192114 Kwa maana twajua ya kuwa torati asili yake ni ya rohoni, bali mimi ni mtu wa mwilini, nimeuzwa chini ya dhambi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Tunajua kwamba sheria ni ya kiroho, lakini mimi ni wa kidunia, mimi nimeuzwa kuwa mtumwa wa dhambi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Tunajua kwamba sheria ni ya kiroho, lakini mimi ni wa kidunia, mimi nimeuzwa kuwa mtumwa wa dhambi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Tunajua kwamba sheria ni ya kiroho, lakini mimi ni wa kidunia, mimi nimeuzwa kuwa mtumwa wa dhambi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Kwa maana tunajua kwamba Torati ni ya kiroho, lakini mimi ni wa kimwili nikiwa nimeuzwa kwenye utumwa wa dhambi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Kwa maana tunajua kwamba Torati ni ya kiroho, lakini mimi ni wa kimwili nikiwa nimeuzwa kwenye utumwa wa dhambi. Tazama sura |