Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 7:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

12 Bassi torati ni takatifu na ile amri takatifu ua ya haki na wema.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Basi, sheria yenyewe ni takatifu, na amri yenyewe ni takatifu, ni ya haki na nzuri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Basi, sheria yenyewe ni takatifu, na amri yenyewe ni takatifu, ni ya haki na nzuri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Basi, sheria yenyewe ni takatifu, na amri yenyewe ni takatifu, ni ya haki na nzuri.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Hivyo basi, Torati yenyewe ni takatifu, na amri ni takatifu na ya haki, tena ni njema.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Hivyo basi, Torati yenyewe ni takatifu, na amri ni takatifu na ya haki, tena ni njema.

Tazama sura Nakili




Waroma 7:12
15 Marejeleo ya Msalaba  

Wala msifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufunya upya nia zenu, mpate kujua kwa hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu.


Bassi, je! twaibatilisha sharia kwa imani hiyo? Hasha! kinyume cha hayo twaithubutisha sharia.


Kwa maana twajua ya kuwa torati asili yake ni ya rohoni, bali mimi ni mtu wa mwilini, nimeuzwa chini ya dhambi.


Lakini kama nikilitenda lile nisilolipenda, nakiri ya kuwa sheria ile ni njema.


Lakini twajua ya kuwa sharia ni njema, kama mtu akiitumia kwa njia ya kisharia;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo