Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 7:10 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

10 Nikaona ile amri iletayo uzima, ya kuwa kwangu mimi ilileta mauti.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 nami nikafa. Hiyo amri ambayo shabaha yake ilikuwa kuleta uhai, kwangu imeleta kifo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 nami nikafa. Hiyo amri ambayo shabaha yake ilikuwa kuleta uhai, kwangu imeleta kifo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 nami nikafa. Hiyo amri ambayo shabaha yake ilikuwa kuleta uhai, kwangu imeleta kifo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Nikaona kwamba ile amri iliyokusudiwa kuleta uzima, ilileta mauti.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Nikaona kwamba ile amri iliyokusudiwa kuleta uzima, ilileta mauti.

Tazama sura Nakili




Waroma 7:10
10 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana Musa aieleza haki itokayo kwa sharia, akiandika ya kuwa, Mtu afanyae haya ataishi kwa haya.


Kwa sababu sharia ndiyo ifanyayo hasira; maana pasipo sharia, hapana kosa.


Na mimi nalikuwa hayi hapo kwanza hila sharia; illa ilipokuja ile amri, dhambi ilihuika, na mimi nikafa.


Bassi, ikiwa khuduma ya mauti katika maandiko, iliyochorwa katika mawe, ilikuja katika utukufu, hatta wana wa Israeli hawakuweza kuukazia macho uso wa Musa, kwa sababu ya utukufu wa uso wake; nao utukufu uliokuwa ukibatilika;


Na sharia haikuja kwa imani, bali, Mtu atendae hayo ataishi katika hayo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo