Waroma 6:9 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19219 tukijua ya kuwa Kristo akiisha kufufuka hafi tena, mauti haimtawali tena. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Maana, tunajua kwamba Kristo amekwisha fufuliwa kutoka kwa wafu na hafi tena; kifo hakimtawali tena. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Maana, tunajua kwamba Kristo amekwisha fufuliwa kutoka kwa wafu na hafi tena; kifo hakimtawali tena. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Maana, tunajua kwamba Kristo amekwisha fufuliwa kutoka kwa wafu na hafi tena; kifo hakimtawali tena. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Kwa maana tunajua kwamba Al-Masihi, kwa sababu alifufuliwa kutoka kwa wafu, hawezi kufa tena; mauti haina tena mamlaka juu yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Kwa maana tunajua kwamba Al-Masihi, kwa sababu alifufuliwa kutoka kwa wafu, hawezi kufa tena; mauti haina tena mamlaka juu yake. Tazama sura |