Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 6:7 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

7 kwa maana yeye aliyekufa ameachiliwa akawa mbali ya dhambi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Kwa maana, mtu aliyekufa, amenasuliwa kutoka dhambini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Kwa maana, mtu aliyekufa, amenasuliwa kutoka dhambini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Kwa maana, mtu aliyekufa, amenasuliwa kutoka dhambini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Kwa maana mtu yeyote aliyekufa amehesabiwa haki mbali na dhambi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Kwa maana mtu yeyote aliyekufa amehesabiwa haki mbali na dhambi.

Tazama sura Nakili




Waroma 6:7
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mwana wa Adamu alikuja, akila na kunywa, wakanena, Mlafi huyu, na mnywa mvinyo, rafiki wa watoza ushuru na wenye dhambi! Na hekima imepewa haki na watoto wake.


Hasha! Sisi tulioifia dhambi tutaishije tena katika dhambi?


Lakini tukiwa twalikufa pamoja na Kristo, twaamini ya kuwa tutaishi pamoja nae,


Kwa maana mwauamke aliye na mume amefungwa na sharia kwa yule mume maadam yu hayi: bali akifa yule mume, amefunguliwa ile sharia ya mume.


Kadhalika, ndugu zangu, na ninyi pia mmeifia torati, kwa njia ya mwili wa Kristo, mpate kuwa mali ya mwingine, yeye aliyefufuka, kusudi tumzalie Mungu matunda.


SASA, bassi, hapana hukumu juu yao walio katika Kristo Yesu, wasioenenda kwa kufuata mambo ya mwili bali mambo ya roho.


BASSI kwa kuwa Kristo aliteswa katika mwili wake kwa ajili yenu, ninyi nanyi jivikeni nia ile ile kama silaha; kwa maana yeye allyeteswa katika mwili, ameachana na dhambi;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo