Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 6:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

5 Kwa maana kama tulivyounganika nae katika mfano wa mauti yake, kadhalika kwa mfano wa kufufuka kwake;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Maana, kama sisi tumeungana naye katika kufa kama yeye, vivyo hivyo tutaungana naye kwa kufufuliwa kutoka kwa wafu kama yeye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Maana, kama sisi tumeungana naye katika kufa kama yeye, vivyo hivyo tutaungana naye kwa kufufuliwa kutoka kwa wafu kama yeye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Maana, kama sisi tumeungana naye katika kufa kama yeye, vivyo hivyo tutaungana naye kwa kufufuliwa kutoka kwa wafu kama yeye.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Kwa maana ikiwa tumeungana naye katika mauti yake, bila shaka tutaungana naye katika ufufuo wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Kwa maana ikiwa tumeungana naye katika mauti yake, bila shaka tutaungana naye katika ufufuo wake.

Tazama sura Nakili




Waroma 6:5
12 Marejeleo ya Msalaba  

Akajibu, akasema, Killa pando asilolipanda Baba yangu wa mbinguni, litangʼolewa.


Amin, amin, nawaambieni, Punje ya nganu isipoanguka katika inchi ikafa, hukaa katika hali ya peke yake; bali ikifa, hutoa mazao mengi.


siku zote twachukua katika mwili kuuawa kwake Yesu, illi uzima wa Yesu nao udhihirishwe katika miili yetu.


mkizikwa pamoja nae katikti ubatizo, katika huo mlifufuliwa pamoja nae, kwa kuziamini nguvu za Mungu aliyemfufua katika wafu.


BASSI mkiwa mmefufuka panioja na Kristo, yatafuteni yaliyo juu, Kristo aliko mkono wa kuume wa Mungu, ameketi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo