Waroma 6:23 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192123 Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti; hali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema23 Kwa maana mshahara wa dhambi ni kifo; lakini zawadi anayotoa Mungu ni uhai wa milele katika kuungana na Kristo Yesu, Bwana wetu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND23 Kwa maana mshahara wa dhambi ni kifo; lakini zawadi anayotoa Mungu ni uhai wa milele katika kuungana na Kristo Yesu, Bwana wetu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza23 Kwa maana mshahara wa dhambi ni kifo; lakini zawadi anayotoa Mungu ni uhai wa milele katika kuungana na Kristo Yesu, Bwana wetu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu23 Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti, bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Al-Masihi Isa Bwana wetu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu23 Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti, bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Al-Masihi Isa Bwana wetu. Tazama sura |