Waroma 6:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192114 Kwa maana dhambi haitawatawala ninyi, kwa sababu hamwi chini ya sharia, hali chini ya neema. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Maana, dhambi haitawatawala tena, kwani hamko chini ya sheria, bali chini ya neema. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Maana, dhambi haitawatawala tena, kwani hamko chini ya sheria, bali chini ya neema. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Maana, dhambi haitawatawala tena, kwani hamko chini ya sheria, bali chini ya neema. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Kwa maana dhambi haitakuwa na mamlaka juu yenu, kwa sababu hampo chini ya sheria, bali chini ya neema. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Kwa maana dhambi haitakuwa na mamlaka juu yenu, kwa sababu hampo chini ya sheria, bali chini ya neema. Tazama sura |