Waroma 6:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192112 Bassi, dhambi isitawale ndani ya miili yenu ipatikanayo na mauti hatta mkazitii tamaa zake; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Kwa hiyo, dhambi isiitawale tena miili yenu ambayo hufa, na hivyo kuzitii tamaa zake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Kwa hiyo, dhambi isiitawale tena miili yenu ambayo hufa, na hivyo kuzitii tamaa zake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Kwa hiyo, dhambi isiitawale tena miili yenu ambayo hufa, na hivyo kuzitii tamaa zake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Kwa hiyo, msiruhusu dhambi itawale ndani ya miili yenu, ipatikanayo na kufa, ili kuwafanya mzitii tamaa mbaya. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Kwa hiyo, msiruhusu dhambi itawale ndani ya miili yenu, ipatikanayo na kufa, ili kuwafanya mzitii tamaa mbaya. Tazama sura |