Waroma 6:10 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192110 Kwa kule kufa kwake, aliifia dhambi marra moja; lakini kule kuishi kwake, amwishia Mungu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Hivyo, kwa kuwa alikufa – mara moja tu – dhambi haina nguvu tena juu yake; na sasa anaishi maisha yake katika umoja na Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Hivyo, kwa kuwa alikufa – mara moja tu – dhambi haina nguvu tena juu yake; na sasa anaishi maisha yake katika umoja na Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Hivyo, kwa kuwa alikufa — mara moja tu — dhambi haina nguvu tena juu yake; na sasa anaishi maisha yake katika umoja na Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Kifo alichokufa, aliifia dhambi mara moja tu; lakini uzima alio nao anamwishia Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Kifo alichokufa, aliifia dhambi mara moja tu, lakini uzima alio nao anamwishia Mungu. Tazama sura |