Waroma 5:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19216 Kwa maana hapo tulipokuwa sisi hatuna nguvu, wakali ulipotimia, Kristo alikufa kwa ajili ya maasi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Tulipokuwa bado wanyonge, Kristo, wakati ulipotimia, alikufa kwa ajili yetu sisi waovu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Tulipokuwa bado wanyonge, Kristo, wakati ulipotimia, alikufa kwa ajili yetu sisi waovu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Tulipokuwa bado wanyonge, Kristo, wakati ulipotimia, alikufa kwa ajili yetu sisi waovu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Kwa maana hata tulipokuwa dhaifu, wakati ulipowadia, Al-Masihi alikufa kwa ajili yetu sisi wenye dhambi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Kwa maana hata tulipokuwa dhaifu, wakati ulipowadia, Al-Masihi alikufa kwa ajili yetu sisi wenye dhambi. Tazama sura |