Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 5:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

13 kwa maana wote wamefanya dhambi; maana kabla ya sharia dhambi ilikuwamo ulimwenguni, lakini dhambi haihesabiwi sharia isipokuwapo;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Kabla ya sheria kuwako, dhambi ilikuwako ulimwenguni; lakini dhambi haiwekwi katika kumbukumbu bila sheria.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Kabla ya sheria kuwako, dhambi ilikuwako ulimwenguni; lakini dhambi haiwekwi katika kumbukumbu bila sheria.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Kabla ya sheria kuwako, dhambi ilikuwako ulimwenguni; lakini dhambi haiwekwi katika kumbukumbu bila sheria.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 kwa maana kabla sheria haijatolewa, dhambi ilikuwemo ulimwenguni. Lakini dhambi haihesabiwi wakati hakuna sheria.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 kwa maana kabla sheria haijatolewa, dhambi ilikuwepo ulimwenguni. Lakini dhambi haihesabiwi wakati hakuna sheria.

Tazama sura Nakili




Waroma 5:13
16 Marejeleo ya Msalaba  

kwa maana hapana mwenye mwili atakaehesabiwa kuwa na haki mbele za Mungu, kwa matendo ya sheria: kwa maanii kujua dhambi kabisa huja kwa njia ya sharia.


Kwa sababu sharia ndiyo ifanyayo hasira; maana pasipo sharia, hapana kosa.


Uchungu wa mauti ni dhambi, na nguvu za dhambi ni sharia.


Sisi tunajua ya kuwa tumepita toka mauti hatta uzima, kwa maana twawapenda ndugu. Asiyependa, akaa katika mauti.


Killa afanyae dhambi, afanya nasi; kwa kuwa dhambi ni nasi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo