Waroma 5:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192111 Wala si hivyo tu, illa na twajifurahisha katika Mungu kwa Bwana wetu Yesu Kristo ambae kwa yeye tuliupokea upatanisho. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Wala si hayo tu, ila tunafurahi pia katika Mungu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo ambaye ametupatanisha na Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Wala si hayo tu, ila tunafurahi pia katika Mungu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo ambaye ametupatanisha na Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Wala si hayo tu, ila tunafurahi pia katika Mungu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo ambaye ametupatanisha na Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Lakini zaidi ya hayo, pia tunafurahi katika Mungu kupitia kwa Bwana wetu Isa Al-Masihi, ambaye kupitia kwake tumepata upatanisho. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Lakini zaidi ya hayo, pia tunafurahi katika Mungu kwa njia ya Bwana wetu Isa Al-Masihi, ambaye kupitia kwake tumepata upatanisho. Tazama sura |