Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 4:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 Yu kheri mtu yule ambae Bwana hamhesabii dhambi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Heri mtu yule ambaye Bwana hataziweka dhambi zake katika kumbukumbu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Heri mtu yule ambaye Bwana hataziweka dhambi zake katika kumbukumbu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Heri mtu yule ambaye Bwana hataziweka dhambi zake katika kumbukumbu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Heri mtu yule Mwenyezi Mungu hamhesabii dhambi zake.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Heri mtu yule Mwenyezi Mungu hamhesabii dhambi zake.”

Tazama sura Nakili




Waroma 4:8
7 Marejeleo ya Msalaba  

yeye mwenyewe alizichukua dhambi zetu katika mwili wake juu ya mti, illi, tukiwa wafu kwa mambo ya dhambi, tuwe bayi kwa mambo ya haki; kwa kuchubuka kwake mliponywa.


Kwa maana Kristo nae aliteswa marra moja kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili yao wasio baki, illi atulete kwa Mungu; mwili wake akifishwa, bali roho yake akihuishwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo