Waroma 4:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19216 Kama vile Daud aunenavyo ukheri wake mtu yule ambae Mungu amhesabia kuwa na haki pasipo matendo; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Naye Daudi asema hivi juu ya furaha ya mtu yule ambaye Mungu amemkubali kuwa mwadilifu bila kuyajali matendo yake: Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Naye Daudi asema hivi juu ya furaha ya mtu yule ambaye Mungu amemkubali kuwa mwadilifu bila kuyajali matendo yake: Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Naye Daudi asema hivi juu ya furaha ya mtu yule ambaye Mungu amemkubali kuwa mwadilifu bila kuyajali matendo yake: Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Daudi pia alisema vivyo hivyo aliponena kuhusu baraka za mtu ambaye Mungu humhesabia haki pasipo matendo: Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Daudi pia alisema vivyo hivyo aliponena juu ya baraka za mtu ambaye Mungu humhesabia haki pasipo matendo: Tazama sura |