Waroma 4:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19214 Lakini kwa mtu afanyae kazi ujira wake hauhesabiwi kuwa neema bali kuwa deni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Mfanyakazi hulipwa mshahara; mshahara wake si zawadi bali ni haki yake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Mfanyakazi hulipwa mshahara; mshahara wake si zawadi bali ni haki yake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Mfanyakazi hulipwa mshahara; mshahara wake si zawadi bali ni haki yake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Basi mtu afanyapo kazi, mshahara wake hauhesabiwi kwake kuwa ni zawadi, bali ni haki yake anayostahili. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Basi mtu afanyapo kazi, mshahara wake hauhesabiwi kwake kuwa ni zawadi, bali ni haki yake anayostahili. Tazama sura |