Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 4:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

4 Lakini kwa mtu afanyae kazi ujira wake hauhesabiwi kuwa neema bali kuwa deni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Mfanyakazi hulipwa mshahara; mshahara wake si zawadi bali ni haki yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Mfanyakazi hulipwa mshahara; mshahara wake si zawadi bali ni haki yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Mfanyakazi hulipwa mshahara; mshahara wake si zawadi bali ni haki yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Basi mtu afanyapo kazi, mshahara wake hauhesabiwi kwake kuwa ni zawadi, bali ni haki yake anayostahili.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Basi mtu afanyapo kazi, mshahara wake hauhesabiwi kwake kuwa ni zawadi, bali ni haki yake anayostahili.

Tazama sura Nakili




Waroma 4:4
5 Marejeleo ya Msalaba  

Au ni nani aliyempa yeye kitu kwanza, nae atalipwa?


Lakini ikiwa ni kwa neema yake, haiwi kwa matendo tena, au hapo neema isingekuwa neema; na ikiwa ni kwa matendo, haiwi neema tena, au hapo matendo yasingekuwa matendo.


wanapewa haki burre kwa neema yake, kwa njia ya ukombozi ulio katika Yesu Kristo:


Kwa sababu gani? Kwa sababu hawakuitafuta kwa njia ya imani bali kana kwamba kwa njia ya matendo. Wakajikwaa juu ya jiwe lile likwaazalo,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo