Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 4:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

3 Maana maandiko yasemaje? Ibrabimu alimwamini Mungu, ikahesabiwa kwake kuwa haki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Kwa maana, Maandiko Matakatifu yasema: “Abrahamu alimwamini Mungu, naye Mungu akamkubali kuwa mwadilifu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Kwa maana, Maandiko Matakatifu yasema: “Abrahamu alimwamini Mungu, naye Mungu akamkubali kuwa mwadilifu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Kwa maana, Maandiko Matakatifu yasema: “Abrahamu alimwamini Mungu, naye Mungu akamkubali kuwa mwadilifu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Kwa maana Maandiko yasemaje? “Ibrahimu alimwamini Mungu, na ikahesabiwa kwake kuwa haki.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Kwa maana Maandiko yasemaje? “Ibrahimu alimwamini Mungu na ikahesabiwa kwake kuwa haki.”

Tazama sura Nakili




Waroma 4:3
16 Marejeleo ya Msalaba  

Walipokuja wale wa saa edashara, wakapokea killa mtu dinari.


Hatta andiko hili hamjalisoma? Jiwe walilokataa waashi Hili limekuwa jiwe kuu la pembeni.


Kwa maana andiko lanena, Killa amwaminiye hatatahayarika.


Mungu hakuwasukumia mbali watu wake aliowajua tokea asili. Au hamjui yale yaliyonenwa na maandiko juu ya Eliya? jinsi anavyowashitaki Waisraeli mbele ya Mungu,


Nae aliipokea dalili hii ya kutahiriwa, muhuri ya wema wa imani aliyokuwa nayo kabla asijatahiriwa; apate kuwa baba yao wote waaminio, ijapokuwa hawakutahiriwa, illi na wao pia wahesahiwe wema;


Lakini kwa mtu asiofanya kazi, bali anamwammi yeye ampae haki asiye mtawa, imani yake mtu huyo imehesabiwa kuwa haki.


Bassi ukheri huu ni kwa hao waliotahiriwa, au kwa hao pia wasiotahiriwa? Kwa kuwa twanena ya kwamba Ibrahimu kwa ajili ya imani yake aliliesabiwa wema.


Kwa maana maandiko yasema na Farao, ya kama, Nilikusimamisha, illi niouyeshe nguvu zangu kwako, jina langu likatangazwe katika inchi yote.


Maandiko yale yakatimizwa yaliyonena, Ibrahimu alimwamini Mungu ikahesabiwa kwake kuwa ni haki: nae aliitwa raliki wa Mungu.


Au mwadhani ya kwamba maandiko yasema burre? Roho ikaayo ndani yetu hutamani kiasi cha kuona wivu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo